iqna

IQNA

sheikha hind bint maktoum
Mashindano ya Qur;ani
IQNA - Sherehe za kufunga toleo la 27 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Dubai ambayo hujulikana rasmi kama Tuzo la Kimataifa la Qur'ani Tukufu la Dubai (DIHQA) zilifanyika katika mji wa UAE Jumamosi jioni.
Habari ID: 3478565    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/24

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Toleo la 24 la Mashindano ya Qur’ani Tukufu ya Sheikha Hind Bint Maktoum katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yalihitimishwa katika hafla iliyofanyika mjini Dubai.
Habari ID: 3478252    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/25

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya 24 YA Qur'ani Tukufu ya Sheikha Hind Bint Maktoum katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yalianza Jumamosi jioni.
Habari ID: 3478165    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/08

Mashindano ya Qur'ani
ABU DHABI (IQNA) – Mchakato wa usajili wa Toleo la 24 la Mashindano ya Qur'ani Tukufu la Sheikha Hind Bint Maktoum katika Umoja wa Falme za Kiarabu ulianza Jumatano.
Habari ID: 3477835    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/03

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Washindi wa toleo la 23 la Mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Sheikha Hind Bint Maktoum la Falme za Kiarabu katika kitengo cha wanaume wametunikiwa zawadi.
Habari ID: 3476455    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/24

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Wanaotaka kushiriki katika Mashindano ya Qur’ani Tukufu ya Sheikha Hind Bint Maktoum ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wanatakiwa kujisajili kuanzia Novemba 1.
Habari ID: 3476003    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/29